Mcheza filamu za vichekesho Gene Wilder afariki

Iliyochapishwa
Mcheza filamu za vichekesho nchini Marekani, Gene Wilder amefariki dunia akiwa na miaka 83.
Wilder amekua akiugua ugonjwa kwa kukosa fahamu{ Alzheimers}.
Aliwahi kucheza filamu maarufu ya , ''Willy Wonka-The Chocolate Factory''.








