Habari za Global Newbeat 1000 07/07/2017
Iliyochapishwa
Shirika la afya Duniani(WHO), limetoa tahadhari kuwa, ugonjwa wa zinaa wa kisonono, umeanza kuwa sugu dhidi ya dawa ya kupambana na ugonjwa huo.Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa katika mataifa 77 tofauti Duniani,