Habari za Global Newsbeat 1000 25/04/2018
Iliyochapishwa
Mwanamume aliyeshukiwa kuwauwa watu 10 na kuwajeruhi wengine 15 kwa kuwagonga na gari jijini Toronto alivyokamatwa. Alex Minassian aliiwataka polisi kumpiga risasi wakati wa kisanga hicho.
Mwanamume aliyeshukiwa kuwauwa watu 10 na kuwajeruhi wengine 15 kwa kuwagonga na gari jijini Toronto alivyokamatwa. Alex Minassian aliiwataka polisi kumpiga risasi wakati wa kisanga hicho.