Habari za Global Newsbeat 1000 25/04/2018

Maelezo ya sauti, Habari za Global Newsbeat 1000 25/04/2018
Iliyochapishwa

Mwanamume aliyeshukiwa kuwauwa watu 10 na kuwajeruhi wengine 15 kwa kuwagonga na gari jijini Toronto alivyokamatwa. Alex Minassian aliiwataka polisi kumpiga risasi wakati wa kisanga hicho.