Biashara ya Benki Tanzania yasuasua kunani?

Maelezo ya video, Biashara ya Benki Tanzania yasuasua kunani?
Iliyochapishwa

Biashara ya Benki nchini Tanzania imeendelea kuwa ngumu kwa baadhi ya taasisi kubwa za kifedha ambapo faida ya benki hizo imekuwa ikisuasua kwa miaka miwili sasa.

Wiki hii benki nchini Tanzania zimechapisha ripoti ya mwenendo wa hali ya biashara kama wanavyopaswa kwa mujibu wa sheria.