Rais Magufuli azungumza wakati wa kuzindua rasmi kampeni ya chama hicho
Iliyochapishwa
CCM imezindua rasmi kampeni yake huko jijini Dodoma, katikati mwa Tanzania.
Rais John Magufuli ambae ndie anaepeperusha bendera ya chama hicho hakusita kuomba wananchi wampe fursa ya kumaliza alichokianzisha.