Ushairi washamiri kipindi hiki cha Corona
Iliyochapishwa
Wakati huu ambapo janga la Corona limerindima na kulazimu shule kufungwa nchini Kenya, watoto hao wananoa makali yao katika sanaa hii ya Kiswahili.
Hili ni wazo la Hamisi Mwagarashi, mshairi mahiri wa Mombasa ambaye anasema kwamba amewaleta pamoja watoto hao ili kuhakikisha kwamba wanakuza vipaji vyao, lakini pia hawajihusishi na tabia potofu wakati huu ambapo shule zimefungwa.
.